Hapo jana kupitia kipindi cha radio cha “The Jump off” kinachoenda hewani kila siku za wiki kuanzia saa mbili mpaka nne usiku Times Fm, alisikia mkali Joh Makini akitoa tathmini ya ngoma yake mpya Nusu Nusu.
Joh Makini kutoka kundi la Weusi alisema video ya Nusu Nusu imemgharimu pesa nyingi kuliko video zake zote alizozifanya kipindi cha nyuma.
Joh aliongezea kwa kusema gharama za video hiyo ndio imefanya ifanikiwe kupigwa kwenye vituo vya runinga nchi za nje, kwani imetoka video nzuri kama ilivyotegemewa.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.