Young Thug anaonekana kutojali kilekinachoitwa beef baina yake na rapa Lil Wayne na kutangaza rasmi kwamba ataachia mixtape yake, Slime Season mnamo july 4 tarehe ambayo hata Lil Wayne ametangaza kutoa albamu yake ya Free Weezy.
Wawili hao wanaonekana kwenye ushindani wa kibiashara ambapo hapo mwanzoni Thug alisema jina la mixtape yake itaitwa Cater 6 jina ambalo linatumiwa na Lil Wayne kwenye searies ya albamu zake na baada ya Lil Wayne kufuatilia kisheria Young Thug akabadilisha jina la mixtape hiyo na kuiita Barter 6.
Lil Wayne ambaye anategemea kutoa albamu hiyo kwa kutumia program ya Jay Z ya TIDAL, mpaka sasa hajatoa neno lolote kuhusu taarifa za Young Thug kuachia albamu siku ambayo yeye pia ametangaza kuachia albamu yake.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.