Kwenye interview aliyofanyiwa na kanisa la San Diego Rock mjini California, Russell amesema wanaimani kuwa ikiwa muda umefika Mungu atawajulisha tu na ndio wanachotegemea zaidi kwenye mahusiano yao.
Wilson amesem “Kama umaweza kuishi na kumpenda mtu bila ngono basi kweli unampenda huyo mtu”.