Hussein Fatal ambaye anajulikana zaidi kama “member” kundi la Outlaws , ambalo liliasisiwa na mkali “the late” Tupac amefariki dunia katika ajali ya gari.
Taarifa kutoka kwenye kurasa za kijamii za kundi hilo, hazijaeleza wazi mazingira ya ajali hiyo zaidi ya kuripoti kifo cha “rapper huyo”.
Fatar amefanya “mikwaju” mobb na Tupac, lakini uliomtambulisha vizuri zaidi ni “Hit em up” ambao amerap katika “Verse” ya pili.
Amefariki akiwa na umri wa miaka 34, ameacha mke na watoto kadhaa.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.