Star wa muziki wa Hip Hop duniani Clifford Harris T.I, ameamua kubadilisha jina la “his next” album kwa sababu za kibiashara zaidi.
Akizungumza na mtandao wa Movie Web ”, T.i zamani aliiita album hiyo “unapologetically gangsta” na sasa ameamua kuipa tittle ya “The Dime Trap”.
Katika line nyingine mkali huyo wa ATL, amedai Album hiyo itakuwa na maadhi ya “trap muzik”.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.