Mtoto wa kiume wa Will Smith, Jaden Smith ameonekana akifurahia siku ya michezo wa kuonyesha uwezo wake wa kucheza mchezo wa kuteleza na kibao cha matairi katika mtaa wa Calabasas Jijini California.
Akionyesha kipaji chake hicho ambacho kilikuwa hakijulikani muigizaji huyo na muimbaji mwenye umri wa miaka 17 alionekana akiwa kifua wazi wakati akiinjoy jua huku akicheza mchezo huo.
Akionyesha kipaji chake hicho ambacho kilikuwa hakijulikani muigizaji huyo na muimbaji mwenye umri wa miaka 17 alionekana akiwa kifua wazi wakati akiinjoy jua huku akicheza mchezo huo.