Google PlusRSS FeedEmail

JOKATE ATOA ANGALIZO KWA WASANII

                            

Mwanamitindo na msanii wa kizazi kipya nchini Jokate Mwigelo,amewaomba wasanii kutumia umaarufu wa vizuri waweze kupewa ushirikiano na kila mtu katika kazi zao

Akizungumza na Pro-24,alisema wasanii wengi wanavimba kichwa baada ya kupata umaarufu hali inayosababisha mwisho wao kuwa mbaya

Wasanii wanatakiwa kujua sio kwamba watakaa juu milele hiyo wasahau,wanatakiwa kutovimba kichwa na kujisahau kwani kujiamini kuwa wao ndio wao katika sanaa

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging