Google PlusRSS FeedEmail

KADJANITO ATOA YAKE YA MOYONI

                         

Mwimbaji wa kike Bongo Flever Khadija Said amesema hana mpango wa kwenda nje ya nchi kutengeneza video za nyimbo zake kama wanavyofanya baadhi wa wasanii hapa nchini Tanzania \

Alisema haoni sababu yoyote na ya msingi kwa maana hata hapa kuna watengenezaji wa video bora kama hizo za huko nje

Msanii huyo ambaye ametamba vilivyo na wimbo wake'' Maumivu'' alisema kuwa ni vyema wasanii wakathamini kazi zinazoandaliwa nchini badala ya kifikiria tu kwamba hazina ubora

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging