Google PlusRSS FeedEmail

SOKO HALIULIWI NA WASANII WAKONGWE- MONALISA

                
Mwigizaji mkongwe katika tasnia ya filamu  Nchini Yvonne Cherryl ‘Monalisa’ amefunguka kwa kusema kuwa si kweli kama soko la filamu linauliwa na wasanii wakongwe au ambao wapo muda mrefu bali kuna changamoto nyingi.

Kweli kama wasanii wakongwe kuwepo katika game ndio wanaua soko la filamu, toka nakua nimekuwa nikisikia wasanii kama Angelina Jolie ana filamu bado zinauza, kwangu wagombea wa Urais wana deni la kulipa,”anasema Monalisa.

Monalisa anaenda mbele zaidi kwa kusema kuwa serikali imeshindwa kusimamia soko la filamu kwa kuachia filamu kutoka nje zisizo na stempu kuuzwa hovyo bila kulipa kodi na kubanwa kazi za ndani, lakini hivi sasa wasanii ndio wanatumika katika kusaka ushindi bila msaada kwao.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging