Google PlusRSS FeedEmail

UKIMYA WANGU UNA KISHINDO

                          

Msanii nyota wa kike Mwasiti Almasi,amesema kuwa hana mpango wa kulipua nyimbo nyingi mfululizo kama wafanyavyo wasanii wengine hapa nchini

Mwasiti alisema kuwa hiyo ndio siri yake kubwa inayomfanya kudumu kwenye gemu kwa muda mrefu tangu alipotoa wimbo wake wa ''Nalivua pendo''

mwasiti alisikika akisema '' Kila mmoja ana ladha yake na kila mmoja ana nafasi yake ,mimi niponna nitaendelea kuwepo na hakuna nayenitisha kwenye muziki wa kizazi kipya.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging