Google PlusRSS FeedEmail

RICH MAVOKO KUGEUKIA SOKA?????

MSANII wa muziki wa Bongo Flava Richard Mavoko, amesema kama asingekuwa mwanamuziki basi angekuwa mchezaji mpira mkali sana.

Akizungumza kupitia kipindi cha ‘Hatua Tatu’,Timesfm,  wakati akitambulisha ‘ngoma’ yake mpya ‘Ninaimani’ Rich anasema aliwahi kupelekwa mpaka shule ya ‘Vipaji’ Makongo kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kusakata ‘kabumbu’.

“Unajua mi nilifaulu second selection, kwa hiyo wakati nipo nyumbani Mkuu wa shule kipindi hicho mzee Kipingu akanipeleka pale Makongo kwa kuwa nilikuwa najua sana kucheza mpira.

So matokeo yalivyotoka yapili yale, ikabidi nichukuliwe pale nipelekwe shule niliyofaulia Mnazi mmoja” alisema Mavoko.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging