Google PlusRSS FeedEmail

AY-JMARTIN WATARAJIWA KUPIGA KAZI YA PAMOJA

Mwanamuziki ,Ambwene Yesaya aka AY mwisho wa wiki aliyopita alisafiri mpaka Nchini Kenya na moja kwa moja alifika katika   jijini Nairobi kwa ajili ya kukutana na msanii   toka Nigeria,Martins Okey Justice aka J. Martins ambaye alikua jijini humo na P-Square kwa ajili ya kupiga show.
Kikubwa Kilichompeleka AY ni kutaka yeye na wasanii hao waweze kukamisha  project yao ya pamoja.
Kwa mijibu wa AY alisikika akisema  “Nilikua nifanye kazi  J. Martins ila kila mmoja ana mishe zake ila kwa kuwa ana kazi Nchini   Kenya Aliwasiliana nami na tukakubaliana tukutane kupanga ni lini na mara baada mimi na yeye kukubaliana  nitaelekea nchini   India  ambako huko nitakuwa na  show kadhaa”

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging