Google PlusRSS FeedEmail

CHAMA CHA CHADEMA CHAPATA MBUNGE MSANII MWINGINE NA AMEACHIA SINGLE YAKE

Mbunge wa Arusha Mjini,Mheshimiwa Godbless Lema-CHADEMA, amedondosha singo yake mpya ambayo inaelezea vurugu na vifo vilivyotokea mkoani Arusha mapema mwaka huu kufuatia maandamo ya CHADEMA yaliyoingia dosari.
Pia ametangaza kuwa ametoa msaada kwa wapiga kura wake wasio na uwezo kuwasaidia gharama za kuwapeleka 'Loliondo kwa Babu' kupata kikombe,na kwa awamu ya kwanza watu 450 watakwenda kwa katika kijiji cha Samunge wilayaniLoliondo kwa Mchungaji Veterani,Ambilikile Mwasapile!Mheshimiwa Lema akiwa ameshikilia CD yenye singo hiyo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Dar-es-salaam

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging