Google PlusRSS FeedEmail

WAKATI NDIO KWANZA AKIWA NA MIAKA 35 TU TAYARI ANA WATOTO WATANO

Mkali toka Nigeria,Innocent Idibia aka 2 Face Idibia amefunguka kuwa amechoka kuendelea kuzaa watoto ovyo,japo kwa sasa ana watoto kibao na bado yupo yupo aka hajawahi kuoa tangu azaliwe,ila ana mahusiano na wanawake  kila kona! 2 Face kwa sasa ana miaka 35 na  alizaliwa September 18,1975 na ana watoto 5 toka kwa wanawake watatu tofauti waitwao Pero,Sumbo na Ann Macaulay. "Natamani ningekua kijana wa miaka 15 na ningejua umuhimu wa kupanga uzazi na nisingekua na watoto wengi hivi tena bila ya kuoa,coz najisikia vibaya kutokana na watoto wengi nilionao ambao hawaendani na umri wangu"

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging