Google PlusRSS FeedEmail

MAMA YAKE RAY C AKANUSHA UVUMI WA KIFO CHA MWANAYE



Wiki kadhaa baada ya kuwasili nyumbani kwao  uvumi ulizagaa kwamba muimbaji  aliyepata umaarufu mkubwa katika ukanda wa Afrika Mashariki Rehema Charamila maarufu kwa jina la RAY C au 'kiuno bila mfupa' amefariki uvumi ulizagaa nchini Tanzania katika mitandao ya kijamii

Uvumi huo umehamia Kenya hata hivyo mama yake Ray C alikanusha habari hizo katika mahojiano na kituo cha radio cha Kenya cha Citizen Radio kupitia kipindi 'cha mambo Mseto' kwamba taarifa hizo si za kweli na kwamba mwanaye yupo hai na anaendelea vyema na matibabu yake

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging