Google PlusRSS FeedEmail

JUSTIN TIMBERLAKE AREJEA KWENYE MUZIKI




Mwaka 2013 unaonekana utakuwa mtamu sana ikiwa zaidi ya miaka sita tangu alipotoa albamu yake ya mwisho 'FutureSex Love Sounds' Justin Timberake ametangaza kurejea kwenye muziki

Muimbaji huyo ambaye hivi sasa ameoa teyariametoa video ikimuonyesha anazungukia maeneo ya studio huku akizungumzia albamu yake mpya ambayo inasubiliwa sana

Kwa mujibu wa Billboard Timberlake teyari ananyimbo zipatazo 20 mpya ambazo zimesharekodiwa kuna ripoti kwamba single ya kwanza ameshirikisha Jay -z na imeandaliwa na Prodyuza Timbaland

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging