Google PlusRSS FeedEmail

MWANAMUZIKI OMARY OMARY AFARIKI DUNIA





Msanii maarufu wa miondoko ya mchiriku Omary Omary amefariki dunia

Msanii huyo wa miondoko ya mchiriku aliyewahi kutamba na nyimbo iliyokuwa ikijulikana 'kupata ni majaaliwa

Kwa mujibu wa taarifa zilizotufikia hivi punde Omary aliyekuwa akisumbuliwa kwa maradhi muda mrefu alikuwa amelazwa katika hospitali ya Temeke lakini usiku wa kuamkia leo mwanamuziki huyo alifariki dunia

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging