GOMEZ ACHOCHEWA NA MARAFIKI KUMTOSA BIEBER
Marafiki wa muigizaji na mwanamuziki Selena Gomez wamemuomba rafiki yao kuachana na rafiki wake wa kiume Justin Bieber, uhusiano wa mapenzi yao ulivunjika tangu mwaka jana ingawa hivi karibuni alituma picha kwenye mtandao zikimuonyesha akiwa amekaa na bibier
Mmoja wa marafiki zake ambaye hakutaja jina lake aliliambia gazeti la The Sun kwamba uhusiano wao kwa sasa hauna nguvu
"Tumefanya kila liwezekanalo ili kuhakikisha wanaachana lakini hatukufanikiwa kiukweli uhusiano wao hauna nguvu ukizingatia umri wao mdogo " aliongezea rafiki huyo wa karibu