Mtangazaji wa vipindi vya terevisheni nchini Marekani Rob Kardashian amefunguliwa shtaka la kumshambulia na kumuibia mpiga picha, kwa mujibu wa vyanzo vya habari nyota huyo anadaiwa kumshambulia mpiga picha Andra Vaik na kisha kumuibia kamera yake wakati wakiwa Gym jijini Los
Kwa mujibu wa jarida la mashtaka Kardashian la mashtaka Kardashian anadaiwa kumuibia paparazi kamera hiyo baada ya kumpiga picha akiwa hajavaa shati