Soko la filamu nchini marekani linaonekana kuwa zuri zaidi kwa wanamuziki nchini humo kukimbilia katika fani hiyo.
Hali hiyo imemfanya Janet Jackson ambaye ni dada wa nguli wa muziki wa Pop hayati Michael Jackson..
Janet ameingiza sokoni filamu yake mpya mwishoni mwa wiki
Filamu hiyo ambayo imepewa jina la WHY DIDI GET MARRIED TOO,ambapo imeonekana kuanza kuibua mashabiki wengi kutoka na kilichochezwa kwenye filamu hiyo ni vitu vinavyomuhusu janet mwenyewe.
Hii inatokana na maisha binafsi ya mwanamuziki huyo kuwa na misukosuko hasa katika ndoa yake,
Japokuwa Janet mwenyewe hajasema chochote kuhusiana na filamu hiyo,mitandao na vyombo vya habari vingi,vimeonekana vikitoa ujumbe tofauti tofauti kuhusiana na filamu hiyo
Mbali na Janet kucheza filamu hiyo wasanii wengine waliocheza ni Tyler Perry,Jill Scott,Sharon Leal,Malik Yoba,Richard T Jones na Tasha Smith..








