Wapenzi wawili ambao wapo kwenye tasnia ya muziki duniani wajulikanao kama Super Couple Alicia Keys na mumewe Swizz Beatz wamepata mtoto wa kiume.
Kwa Alicia ni mtoto wa kwanza wakati kwa upande wa baba ni mtoto wa 3 ambapo kila mtoto ana mama yake.
Siku ya alhamisi iliripotiwa kuwa mwanamuziki huyo alienda hospitali na hatimae kujifungua salama katika hospitali iliyoko New York’s St. Luke’s Roosevelt.
Beatz, real name Kasseem Dean, tweeted his happiness shortly after the birth with a post on his Twitter.com blog.
The thrilled father wrote,kwa furaha aliyokuwa nayo baba wa mtoto huyo ambae jina lake halisi ni Kassem Dean, kupitia mtandao wa twitter “I’m so thankful for everything I been blessed with in my life wowwwwww.
Ambapo rafiki yao wakaribu Mary J. alikuwa miongoni mwa marafiki wa kwanza waliowatumia best wishes.
Jina la mtoto wa Alicia Key amemwita Egypt eti kisa anaipenda sana nchi ya Egypt
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








