Akiwa na umri wa miaka 42 sasa yuko katika hospitali moja inayojulikana kwa jina St. Mary’s Medical Center ambayo iko huko West Palm Beach, Florida nchini Marekani,aliongeza kwa kusema kuwa karibu na madaktari kwa mama mjamzito ni vyema kwa kila mama mjamzito anapokaribia kujifungua ni vizuri kuwa karibu na vituo vya afya ili mama aweze kujufungua salama..na huu utakuwa uzao wa 2 kwa mwanamama huyo kwa maana tayari ana mtoto mmoja na mumewe Rene Angelil na mtoto wao Rene Charles ana umri wa miaka 9 sasa..
Mnamo mwezi August 2009, mwanamama Celine Dion alitangaza hadharani kuwa yeye ni mjamzito wa mtoto wake wa pili ila mimba yae ilipofikia umri wa miezi sita kwa bahati mbaya mimba hiyo ilitoka na ndio maana kwa sasa ameamua kuwa karibu na madktari ili kuepusha balaa kama lililomtokea mwaka jana









