Google PlusRSS FeedEmail

HAKI ZA WANYAMA ZAMPELEKA PABAYA VICTORIA BECKHAM SASA YUKO NJIA PANDA

Mwanamama mwanamitindo,mbunifu wa mavazi mwanamuziki na pia ni mke wa mcheza kandanda David Beckham hv karibuni amejikuta akiwa katika mzozo wa chini kwa chini na  tasisi ya kutetea haki za wanyama kukasirishishwa na kitendo cha mwanamama huyo kuonekana na begi lake jipya la ngozi ya mnyama.

Gazeti la The Daily Mirrior liliripoti kuwa tasisi hiyo imepania kumfungia kazi supa staa huyo na inamuwinda kwa udi na uvumba pale atakapotokea katika tamasha lolote nchini UK,Wanachama wa taasisi hiyo wamepania  kumwagia damu ya ng’ombe ili kuonyesha hasira zao kutokana na kitendo hicho.

Tarifa za ndani zinadai kuwa Vicky hakupata taarifa yoyote iliyotumwa kwake kutoka katika taasisi hiyo na sio kuwa amepuuzia taarifa yao..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging