Mahakama hiyo imechukua uamuzi huo baada ya Rapper huyo kuhukumiwa kifungo cha miezi 11 jela baada ya kukiuka amri ya mahakama iliyokuwa ikimuhitaji kukaa uraiani kwa mda wa mwaka mmoja bila kufanya kosa lolote..
Mwezi uliopita Rapper T.I akiwa na mkewe walikamatwa katika moja ya mtaa ya huko Hollywood Marekani akiwa wanatumia madawa ya kulevya,mara baada ya kukamatwa mahama ikamuhukumu kurudi jela baada ya kukiuka amri ya mahakama,wiki moja mara baada ya kufanya kosa hilo rapper huyo alimshawishi kijana mmoja asijitupe kutoka kwenye moja ya jengo mjini humo,ambapo kijana huyo alikuwa akitishia kujiua ,ila mahakama ilisema kuwa huo ulikuwa mchezo tu ili Rapper huyo kupunguziwa adhabu,kwa kosa lililokuwa likimkabili..








.jpg)