Mwanamama aliyetesa sana katika miaka ya Tisini hasa alipoachia kibao chake Dont think im not..Mwanamama Kandi Burruss ambaye alishawahi kuwa ni mmoja kati wadada waliokuwa wakiunda kundi la XSCAPE,
Ameweka bayana kurudi kwake katika ulingo wa muziki kwa mara nyingine,mara baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu sasa..Kandi ameweka bayana hayo katika ukurasa wake wa twitter akisema kuwa Desemba 14 mwaka huu ataachia Albamu yake mpya ambayo ameibatiza jina la Kandi Koated..
Katika kujiweka sawa mwanamama huyo atawashirikisha wanamuziki wenzie kutoka katika kundi lake la zamani na wanatarajia kufanya show nyingi katika miji kumi na miwili ya Huko Marekani..iliongeza wasanii wengine ambao atakuwa nao katika mzunguko huo ni rafiki yake kipenzi Fantasia.na Bwana mkubwa Eric Benet
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.










