Atlanta Marekani,
Imeelezwa kuwa mwanamuziki huyo ameanzisha event ambazo mapato yake yatakuwa yakipelekwa moja kwa moja katika foundation zinazojihusisha na maswala ya uzazi..
Akiwa mwenye furaha kubwa baada ya kupata mtoto huyo aliweka bayana kuwa albamu yake mpya itakuwa sokoni kuanzia Nov 22,na ameshaipatia jina Libra Scale..na alimalizia kwa kusema "Brand new baby, brand new album. Life is GOOD!!!!








