Google PlusRSS FeedEmail

USIKOSE USIKU HUU WA PRO 24 NDANI CLUB BILLICANAS USIKU WA LEO..

Kwa wale wapenzi na wasio wapenzi wa burudani ni siku ile ileya Alhamisi  imewadia,usije ukathubutu kuukosa usiku wa maraha,maana vija na wa Pro 24 Djs wakishirikiana na Club billlicanas wanakuletea  usiku wa wa akina dada,Ladies Nite,kwa wakina kaka wao wanachangia shillingi elfu tano tu ila burudani utachoka mwenyewe..
Tazama picha za baadhi ya wadau waliorithia na usiku wa pro-24 na ku show love na camera ya pro 24.katika Alhamisi zilizopita...

    

Vyombo vya kisasa na ubunifi mkubwa katika upangiliaji wa ngoma zipigwazo kutoka kwa ma Djs wa pro24 ndio gumzo kubwa katika usiku huo,na dio maana nyomi kila kukicha linazidi kuongezeka...
Dj Joe
                                                              Dj Chill
                                                            Dj Tass
                                                            Dj Kevy




Wakati Djs wa pro-24 wakifanya kazi yao kukonga nyoyo za wadau baadae mambo huwa hiviiiii...
Kwanini uhangaike karibu Club Billicanas kila Alhamisi kwenye usiku wa pro-24...ni zaidi ya usiku kwa maana kuna raha za aina yake..karibu 

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging