Google PlusRSS FeedEmail

WASANII WETU HUWA WANAKWENDA KUSHINDANIA TUNZO AU WANAKWENDA KUPIGA PICHA..?

Wasanii kutoka nyumbani wanapata bahati nyingi sana za kushirikishwa katika tunzo mbali mbali barani Africa na Ulaya hata huko Marekani ila kwa mara nyingine  wasanii wetu waliokwenda South Africa kwenye Tunzo za Channel O Video Music Award hawakufanikiwa kuondoka na tunzo hizo na hatimaye kuchukuliwa na wenzao waliokuwa wakipambana nao.
Kama kundi alilokuwepo Shaa tunzo hiyo ilichukuliwa na msanii kutoka Kenya anajulikana kwa jina la Obita, na kundi alilokuwepo Gelly alichukuwa msanii kutoka Angola...



Labda wanakwenda kupiga picha au nini unafikiri ndio chanzo cha wasanii wetu kukosa tunzo hizo toma maoni yako kupitia katika sehemu ya commets then tuwafikishie watengenezaji wa video wa hapa nchini ili wafanyie kazi maoni yako...

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging