Google PlusRSS FeedEmail

CBH KICHWA KIPYA KILICHOANZA KAZI NA KUACHIA NGOMA TATU KWA MPIGO

Kijana anaefanya Style tofauti na zile tulizozizoea hapa nyumbani Charles Benedicto Halawa anaetambulika kwa jina la kisanii CBH akiwa katika kampuni ya Show Biz Defind ametoa ngoma 3 kwa mpigo nakuacha watu hoi kutojua ipi kali kuliko 1-Am Inlove, 2-Broda, 3-Oweooh, na wimbo wa Broda umesimamiwa na Producer Manecky huku wimbo wa Oweooh umetengenezwa na Mr. Chocolate Bob Junior.
Vile vile ameomba zaidi kupigiwa kura kila ngoma zinapoingia kwenye mizunguko ya chat mbali mbali za vituo vya Radio,Tv,na nje ya Tanzania

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging