Google PlusRSS FeedEmail

DUDU BAYA MATATANI MARA BAADA YA KUJIPATIA FEDHA KWA NJIA YA UDANGANYIFU

Artist wa Bongo Flava ,Godfrey Tumaini aka DuduBaya inasemekana kuwa amekamatwa na kufikishwa mahakamani mkoani Mwanza
DuduBaya ammbaye kwa muda mrefu alikua mikoa ya kanda ya ziwa,inasemekana anadaiwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na amefikishwa kwenye Mahakama ya Mwanzo Wilaya ya Geita,Mkoani Mwanza

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging