Wasanii wa muziki wa Hip Pop Nchini Tanzani Jay -Moe na Mchizi mox wako nchini Africa ya kusini kwa ziara maalumu,kwa ajili ya show na ku-Record video ya wimbo Vile Vile ,wasanii hao ambao wameongozana na na Dj Choka wameanza kazi hiyo mara ya kurejea kutoka Cape Town..na kwa sasa kazi yote ya kutengeneza Video hiyo inafanyika katika Jiji la Jo"Burg nchini humo..na hizi ni baadhi ya picha wakiwa katika kukamilisha kazi hiyo
PICHA KWA HISANI YA DJ CHOKA







