
Amesema alisema upigaji wa kura mwisho mwisho wake ni August 27 mwezi huu huku tuzo hizo zikifanyika Newyork Marekani, katika kinyang'anyiro hicho atachuana na Akofa, Nadia, Guari, younne Okoro, Ama K, Abetrese na Jackie Appiah wakiwania Pan Africa Actress. Naomba kura za watanzania wote, ilikufanikisha kushinda kwa kuingia www.nigeriaentawards.com, nashukuru sana.







