Google PlusRSS FeedEmail

J Cole Scores The #1 Album In The Country Selling 217,000 In Its First Week


Rapper J Cole amezidi kujipatia umaharufu na fedha nyingi mara baada ya Albamu yake Cole World ,kushika nafasi ya kwanza katika chati za Billboard 200
J ambaye yuko chini Lebo ya Roc ambayo inamilikiwa na Rapper Jay -Z.
Mafanikio ya msanii huyo ni ya kushangaza na yote hiyo ni kutokana na kujituma kwake kwa bidii na ndio imefanya albamu yake kufika nafasi ya kwanza wiki chache tangu kuingia sokoni
"kiukweli juhudi ndio zimenifikisha hapo nina furaha sana na nitahakikisha natoa ngoma kali ili kuongeza mashabiki wa muziki wangu kote Ulimwenguni"

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging