Google PlusRSS FeedEmail

MARA BAADA YA UVUMI KUHUSU BI KIDUDE UKWELI NDIO HUU

                               
Mara baada ya  taarifa za uzushi zinazoendelea katika mitandao mbali mbali, kama Facebook pamoja na BBM kuwa,  Bi Kidude amefariki Dunia.kwa taarifa nilizozipata ni kuwa, B kidude yupo hai na bado anaendelea kuuguzwa na familia yake na hali yake si mbaya..Kidude anakadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 100 kwa sasa,kwa wapenzi wa muziki wa taarabu asilia wengi hupenda kumwita malkia wa muziki wa Taarab.

This entry was posted in

One Response so far.

  1. salum says:

    Bi kidude ana miaka zaidi ya 100 na yuko hai

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging