Google PlusRSS FeedEmail

S WA MAVES-KICHWA KIPYA TOKA A-TOWN

Mchizi toka Arachuga moja...ni beatmaker na hiphop artist anayeongoza kundi la NOKOZ anapotokea Dmnoko alodrop ngoma ya michezo ya hatari ilosukwa beat na S wa maves ambaye anakuja sasa na nyimbo yake solo project inayoitwa Prisoner..ngoma ilorekodiwa pande za noizmekah studios arusha chini ya producer defxtro..ikiwa ni ngoma ya kwanza anayorekodi mchizi S wa maves,Mc huyu ana mengi kwa mashabiki wa hiphop Tanzania nzima na duniani  pia,"Nina ngoma kibao so mafanz wangu wakae tayari tayari kupata pini za ukweli...peace!!

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging