Google PlusRSS FeedEmail

ANTI VIRUS KUWASHA MOTO JUMAMOSI NOV 26 DAR

Tamasha la Anti Virus linatarajiwa kufanyika Jumamosi ya Tarehe 26 Mwezi huu.Jijini Dar es Salaam,Kwa Mujibu wa Mh Sugu amesema wasanii ambao mpaka sasa wamethibitisha kushiri katika Tamsha hilo ni Mh sugu mwenyewe na wengine ni Soggy Doggy,Rama D,Mapacha,Manzese Crew,Big Dogg Pose,Suma G,Mkolooni,Adili,Gangwe Mob,Mabaga Fresh,Dk Levy,Danny Msimamo ,Lwp,Tamasha hilo linalotarajiwa kuanza saa 12 jioni hadi saa sita za usiku.Mr amesema "tunatarajia tamasha hili litakuwa zuri na la kuvutia na litakuwa tamasha la aina yake katika kumaliza mwaka Tunaomba wadu wajotokeze kwa wingi."

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging