Google PlusRSS FeedEmail

MOFIRE NA BOUNAKO WAJA NA KILIMANJARO

Huu ni utetezi kwa wagumu wanaojishughulisha na bishara ya utalii wa mlima mrefu kuliko yote africa,Mount Kilimanjaro na ndani ya pini hili alounda defxtro toka noizmekah arusha,Ras Mofire amshirikisha Uso wa kaskazini a.k.a. Bounako..Idea hii imenijia kwasababu shughuli zangu za kimaisha ni kuwapandisha watalii mlima kilimanjaro kwaivo hapa nimezungumzia yale matatizo yunayopata wadau wote katika secta hii,Mazuri mengi pia nimekumbbushia kuhusu kivutio chetu hiki,mafans wote mnipokee na kusupport haki kwa watanzania wanaopata chochote kupitia mlima Kilimanjaro...Jah Bless

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging