Google PlusRSS FeedEmail

HAWA NDIO LOST SIDE KUTOKA ARACHUNGA


Lost Side ni Hiphop Mc's Toka Pande za Arusha linaloundwa na Binara,Erybwaxy na Scom.New joint wanayodrop nayo hapa ni "Battle",Ikiwa ni production ya Arachuga hiphop city."Sisi kama Lost Side tupo watatu na music sasa 2nafanya katika studio mbalimbali apa Tanzania chini ya uongozi wa BM records ambayo ni studio yetu binafsi kwaajili ya kuunda projects mixtapes,Track ya "battle tumerecord pande za noizmekah chini ya bro Defxtro na hopefully hii ngoma mtaipenda na kutupa support,Game kiujumla lina vikwazo hapa na pale na tunashkuru sana wadau kadhaa kutupa sisi uhsauri na moyo tuzidi pambana na game coz we can!!!!

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging