Mara baada ya kupata maradhi ya figo na kufanyiwa upasuaji mwanamuziki na Muigizaji Nick Cannon,ameanza kupata nafuu,"alisikika akisema upasuaji ulinitia hofu kutokana na chumba chenyewe watu waliokuwa wakijiandaa kunifanyia upasuaji ,kwa kweli ila nashukuru wamefanikiwa na naendelea vyema sasa..Cannon alipata maradhi hayo wakati akiwa katika mapumziko ya sikuu ya Cristmas na kukimbizwa katika Hospital moja huko Los Angeles...
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.