Mwigizaji Mercy Aigbe amesema sababu kubwa ya yeye kukubali
kuolewa na mtu mzima,ilikuwa ni nadhiri yake mwenyeweMercy amesema nilikuwa natamani sana kufunga ndoa na mtu
aliyenizidi umri kwa kuwa wanaume wa sampuli hiyo huwa wana mapenzi ya kweli
tofauti na vijana ambao bado damu zao zinachemka..kwa kweli kama ndio ningekuwa
nimeolewa na kijana kwa maneno yaliosemwa juu yangu hakika ningekuwa
nimeshaachika ila wamesema sana kwasababu mume wangu amekomaa ki akili
ameyapuunzia na ndio maana mpaka leo ndoa yangu iko sawa.vyombo vya habari
viandike ipo siku vitaacha..
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








