Google PlusRSS FeedEmail

CASH MONEY WAZIDI KUONGEZA WASANII

Kundi la Cash Money,linazidi kujiozolea wasanii nchini marekani,mara baada  Christina Milian & Busta Rymes kutangazwa kujiunga na Young Cash Money,kuna habari kuwa,Rapper  Lil Wyne akiwa katika mahojiano na kituo kimoja cha radio Nchini  Marekani, amekubali kwamba mda wowote kuanzia sasa mwanamama Ashanti atajiunga na kundi lao.Ashanti ambaye ni mwanachama wa kuni la Murder Inc anatarajiwa kusaini mkataba wa kujiunga na kundi hilo Lil Wyne akisikika akisema  “sitaki kuvuka mipaka yangu lakini nadhani tunafanya kazi na Ashanti sasa hivi”Mwaka jana Ashanti alifungua lebo yake inaitwa “Written Entertainment” ambayo kwa sasa ina dil na kuipromote single yake ya “The Woman You Love” aliyomshirikisha Busta Rymes wa Cash Money.Ashanti alianza kushine wakati huo wa single kama za Wat’s love na Always on time akiwa na Ja Rule ambapo sasa hawapo tena kwenye lebo moja na wala hawashirikiani kama zamani, nakumbuka siku kadhaa zilizopita kabla Ja Rule hajaenda Jela, alitweet kwamba “nimejaribu kumwambia Ashanti tuungane kama zamani amekataa, ila simlaumu kwa sababu ni dada yangu na ninamuheshimu”

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging