Google PlusRSS FeedEmail

MARA BAADA YA KUHUKUMIWA MIAKA MIWILI JELA RAPPER JA-RULE ASIFIA MAISHA YA JELA


Mashabiki wa Rapper Ja Rule wameshangzwa na kauli ya Rapper aliyoitoa hv karibuni akisema kuwa jela ni sehemu safi kuishi,Rapper huyo ambaye anatumiaka jela kwa kipindi cha miaka miwili,mara baada ya kukutwa akiwa na bunduki bila ya kuwa na kibali halali..Kauli ya Rapper iliwafikia mashabiki wake kwa njia ya barua yake ambapo alisema jela ni sehemu yenye maisha murua..Rapper huyo anaonekana hivi sasa ameanza kurekebisha kimaadili akiwa jela ambapo anatarajiwa kumaliza kifungo chake Februari Mwakani

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging