Muimbaji wa Nyimbo za Injili kutoka Nigeria,Tim Godfrey maarufu kama Agidigba ameachiwa huru mara baada ya kutekwa saa kumi na moja jioni mwishoni mwa juma Juma.Kwa mujibu wa taarifa za kutoweka kwake inaelezwa kuwa alitekwa nyumbani kwake ufukwe wa Alpha akiwa ndani ya gari lake aina Honda...Jamaa yake wa karibu Ife Salako aliiambia Nigeriafilm.com.Jamaa yake huyo alisikika akisema "hii inatisha sana msanii wa injili anatekwa katika mazingira haya ya kawaia je hao wasanii wa muziki wa burudani ambao wana fedha nyingi si mbaya,hali si nzuri kabisa"Tim mpaka sasa anatamba na kibao chake kinachijulikana kama Agidigba...
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








