Google PlusRSS FeedEmail

CHID BENZ KATIKA HARAKATI ZA UJIO WAKE 2012

Rashid Makwilo ‘Chid Benz’ yupo kwenye kibarua kizito cha kuandaa albamu yake ambayo hajatangaza ataitoa lini..Anachokifanya kwa sasa ni kuandaa albamu yake  ili itakapotoka iwe ya  mshtuko kwa kila mtu anayefatilia muziki wa kizazi kipya .Alisema kwa kipindi hiki huwa na kawaida ya kujifungia studio kuanzia asubuhi na kufanya kazi siku nzima kwa lengo la kuifanya albamu yake iwe na ubora unaokubalika.“ Nataka utulivu ili niikamilishe kwa haraka ikiwa na ubora unaokubalika,”Alipoulizwa studio ambayo huwa anakwenda kujifungia, Chid aligoma kuitaja kisha akaongeza: “Sitaki kuitaja kwa sababu nyingi....

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging