“Tuzo hizi sizipendi kwa sababu siyo za kweli, kila mwaka huwa nashiriki lakini sijaona faida yake, nawaomba Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) wazitoe nyimbo zangu zote kwenye shindano hilo,” alisema Choki.
Choki anaungana na msanii wa muziki wa kizazi kipya, Abdul Sykes a.k.a Dully Sykes,ambaye naye alijitoa Wengine ni Tid, hivi karibuni kwa madai kuwa tuzo hizo ni za uongo na hazina maana yoyote kwake..







