Google PlusRSS FeedEmail

DR. DRE KUTENGENEZA MOVIE LA KUTISHA

Muigizaji na Mkali wa ngoma ya kush the man himself rafiki wa karibu na Tupac those days, yuko njiani kufanya filamu ya kutisha iliyopewa jina la “Thaw”.Movie itaandikwa na mkali wa kuandika movies Vick Weet, Kutoka Variety habari zinasema Dr. Dre ataifanya filamu hiyo na rafiki yake Daniel Schnider ambae ndo ameleta wazo hilo. Movie itahusisha mashetani ambayo yatakua yanatokea kwenye barafu inayoyeyuka huko Yukon...Dr Dre sio mgeni Hollywood, The Super Producer/ Rapper alizindua filamu mwaka 2007 na deal ya New Line. Hii ni alama ya toleo la kwanza akiwa chini ya ushirikiano.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging