Google PlusRSS FeedEmail

DULAYO ATAKA KUFUNGA NDOA

Msanii ambaye anafanya vyema katika muziki wa kizazi kipya kwa sasa Dullayo.{Abrahamani Kasembe}ameweka bayana kuwa nataka kuoa..amesema hali ya mambo kabla ya kufikia uamuzi wa kuoa ni kutokana na mazingira anayokutana nayo kwa sasa tangu alipojingiza na kupata mafanikio  kwenye muziki wa kizazi kipya.."nimeshawahi kuwa na mahusiano na wasichana wengi ila mwisho wa siku nikagundua walikuwa hawana mapenzi ya kweli bali walikuwa wananipenda kutokana na umaharufu wangu na fedha zangu tu"

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging