Google PlusRSS FeedEmail

MSANII KAJALA MASANJA APANDISHWA KIZIMBANI

Msanii anayefanya vyema kwa sasa katika Tansia ya Filamu Nchini Kajala Masanja Amefikishwa katika mahakama ya Hakimu mkazi Kisitu na kushitakiwa kwa makosa matatu ikiwamo kosa la kusafisha fedha haramu,kosa ambalo kisheria halina dhamana na kurudishwa rumande,,,Katika kesi hiyo Kjala anashitakiwa pamoja na mume wake Faraji Mchambo,makosa mengine ni kula njama na kubadili hati ya nyumba.Kajala alikana mashitaka yote hayo.hakimu fimbo aliarisha kesi hiyo mpaka April 20 mwaka huu,ili kutolea maamuzi yaliombwa na wakili wa msanii huyo..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging