Google PlusRSS FeedEmail

RIHANNA SASA AKIMBILIA KWENYE FILAMU..

Mwanamuziki Rihanna ambaye tumezoea kuona katika fani ya muziki sasa mambo yamebadilika na sasa kama wasanii wengi wa muziki kukimbilia kwenye fai ya filamu hatimaye na yeye ndani.Tena cha kushangaza mwanammama huyo filamu yake hii ambayo ni ya kwanza ni kijeshi inayojulikana kama Battleship .katika filamu hiyo  vita mwanzo mwisho humo ndani yuko na mastaa wengine akiwemo Liam Neeson,  inaitwa Battleship.. Trailer ya filamu hiyo gonga hapo chini 
                       

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging