Google PlusRSS FeedEmail

PENZI LA EVA LONGORIA NA EDUARDO CRUZ LASAMBARATIKA

Mwanamuziki Longoria ameamua kuachana na masuala ya mapenzi ili kuelekeza nguvu katika kazi zake za kimuziki.Mwanamuziki huyo alichukua uamuzi huo mara baada ya kujihusisha na maswala ya mahusiano ambayo mwisho wa siku huishia katika migogoro na mwishowe huachika..mwana mama huyo ambaye alikuwa na mahusiano na Eduardo Cruz ambaye kwa sasa bado wako katika mgogoro mkubwa.."kwa sasa sioni sababu ya kuwa na mahusiano kwa kuwa mara zote naumizwa na wanaume ambao nakuwa nawaamini,bila kutaja majina ya waliomuumiza..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging